Friday, 7 June 2019

FANYA MAAMUZI





Image result for bill gates
BILL GATES.
MFANYABIASHARA NGULI.
Yes we can.
Katika maisha ya kila siku kutumia neno ndio inawezeka, hujenga na kuimarisha fikra za mtu kwa ujumla, kutokukata tamaa kunachochoe kwa kiasi kikubwa kwa mtu au watu kuwa na mazoea ya kuboresha mawazo yao mara kwa mara kwa kujaribu kuyafanyia kazi hata kama wakikosea haimaanishi kwamba ndo mwisha wa kuyafanyia kazi mawazo yao bali umeanguka leo usikate tamaa amini kwamba unaweza, simama fanya tena leo ndo siku yako ya mafanikio, kumbuka pale unapotaka kukata tama ndo mafanikio yako yapo karibu, fanya fanya fanya usikate tamaa kama Mo angekata tamaa asingefika hapa alipo napenda kusema ata maandiko matakatifu yanatuonesha kwamba kukata tamaa ni dhambi, iaminishe nafsi yako kuwa kukata tamaa ni dhambi kila ukiamka isemee nafsi yako kukata tamaa ni dhambi, kumbuka kwamba katika maisha yetu wapo watu waliojaribu kufanya jambo Fulani haijalishi kama walifanikiwa au hawakufanikiwa iambie nafsi yako hao ni wao mimi nataka kufanya sasa , vijana wengi wamekua wakataji tamaa wakubwa kwa kuangalia watu walioshindwa ni kosa kubwa sana hilo hiyo sio sababu fanya wewe leo hakika utafanikiwa. Napenda sana kutumia nukuu ya mkurugenzi mtendaji wa clouds Rughe Mtahaba inayosema kuwa “msimamo wa kweli ni ule ulio weka leo bila kujali lolote litakalo tokea kesho”.      


















1 comment: